Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

G Nako afunguka kuhusu ku-copy wimbo wa Mghana

Ijumaa , 24th Mar , 2017

Mkali wa hip hop kutoka 'Weusi', G Nako Warawara amekanusha zile tetesi zilizozagaa kuwa wimbo wake mpya ’Go Low’ aliofanya na Jux ni wa ku-copy na ku-paste kutoka kwa Flowking Stone wa nchini Ghana na kusema kuwa inawezekana idea zikawa zimefanana.

Jux na G nako wakiwa pamoja picha ambayo imetumika kwenye video ya 'Go Low'

Tuhuma hizo zimekuja pindi msanii huyo alipoiachia ngoma hiyo ndipo wadau na wapenzi wake kusema kazi hiyo imefanana  kuanzia jina mpaka ‘mixer’ za mdundo wa muziki huo ambao unafananishwa na 'Go Low' ya Flowking

“Mimi sijawahi kusikia hii nyimbo ‘before’ wala kumsikia huyu msanii ‘to be honestly’ na siku zote mimi siamini katika ku-copy kazi ya msanii mwingine kwa sababu naamini kabisa siwezi kupata njia yangu mimi kama ninaweza kumkopi msanii mwingine”. Alisema G Nako wakati akizungumza katika kipindi cha eNewz

Aidha msanii huyo amesema haiwezekani mtu akawa ana-copy na ku-paste halafu akapata njia yake anayoitaka kama utakuwa na 'vision' katika kazi zako na kitu chako.

Vile vile G Nako amesisitiza kuwa laiti angejua au kusikia wimbo huo upo katika mzunguko asingeweza kupoteza muda wake kutengeneza video na kurekodi sauti.

Kwa upande mwingine amesema 'idea' kama hizo za aina ya Club huwa zinatokea akiwa studio na siyo kwamba anakuwa amejipanga kuzipania kuzifanya.

Ngoma zenyewe hizi hapa, unaweza kuzitazama na ukatoa maoni yako.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke