Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Goodluck ajibu kuhusu kuacha wokovu

Jumamosi , 7th Sep , 2019

Goodluck Gozbert ni Mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye ametamba na nyimbo nyingi mpaka sasa kama Shukrani, Hauwezi Kushindana, Hao Hao, Ipo Siku na sasa Nibadilishe' wimbo ambao una wiki mbili tangu utoke.

Goodluck Gozbert

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital kuhusu namna ya muziki wake unavyozungumziwa na watu mbalimbali kwamba hauendani na mahadhi ya kuwa nyimbo za Injili, Goodluck anasema kwake hana cha kusema na huwa anaacha hivyo hivyo.

"Sio kila Mwimbaji anaimba nyimbo za Injili hata kama anaitwa mwimbaji wa nyimbo za Injili, maana ukizungumza nyimbo za dini ni nyimbo zinazohusu dini fulani na nyimbo za Injili ni nyimbo zote zinazo ongelea habari zote ziletazo wokovu," aliongeza.

Goodluck ameendelea kueleza kuwa, kuna waimbaji wanaimba nyimbo za Injili lakini wao wana muabudu Mungu tu na wengine wanamsifu Mungu peke yake hivyo tupo tofauti lakini wote huwa tunaitwa waimbaji wa nyimbo za Injili nayo ni sawa," aliongeza zaidi.

Pia aliongeza mabadiliko ya Teknolojia yamewafanya na wao pia wabadilike lakini Injili ni ile ile na muziki wao pia upo vile vile.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali