Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Harmonize avunja ukimya, amvaa mazima muhusika

Jumanne , 16th Feb , 2021

Ni 'headlines' za sakata la video ambazo zimeonesha msanii wa kiume na mtoto wa staa wa filamu Kajala Masanja na P-Funk Majani aitwaye 'Paulah Kajala' wakiwa wana-kiss kwenye gari ambapo Harmonize amevunja ukimya na kuhoji kwa alichokifanya msanii huyo.

Picha kubwa ni Kajala Masanja na Harmonize, picha ndogo ni Paulah Kajala mtoto wa P-Funk Majani na Kajala

Kupitia 'Insta Post' yake msanii Harmonize ameandika ujumbe mzito unaohusu sakata hilo juu ya msanii huyo kumrekodi video Paulah Kajala ambaye bado ni mwanafunzi.

"Ulipata wapi ujasiri huu wa kutembea na mwanafunzi wa kidato cha (5) wakati ni wazi kwamba ni kosa la jinai na hukumu yake sio chini ya miaka 30, lakini pia isitoshe una-record video ukiwa una-kiss unaonesha kwamba Serikali haiwezi kukufanya kitu, nawaza lengo lilikuwa ni kuonesha upo juu ya sheria ama

"Hebu angalia 'future' ya mtoto wa watu umeiweka wapi kwa tamaa za siku 1, kama kweli mlikuwa mnapendana mpo 'in love' video ilikuwa na haja gani na lengo la kuvujisha ni nini, lakini pia Serikali  itajiuliza una videos ngapi za watoto wa shule kama umeweza kuwa na hii ukaivujisha" ameandika Harmonize 

Zaidi tazama hapa chini kwenye video akizungumzia suala hilo.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ