Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatma ya ndoa ya Irene Uwoya kujulikana

Jumamosi , 26th Oct , 2019

Baada ya kuwa na kitendawili alichokuwa anakiweka Irene Uwoya kupitia mtandao wa Instagram inayosema kuhusu tarehe 26 Oktoba, sasa imejulikana kuwa ni ndoa kutokana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya kijamii.

Irene Uwoya na anayedaiwa kufunga naye ndoa

Muda mchache uliopita katika mtandao wa Instagram, baadhi ya mastaa waliposti picha ya Irene Uwoya na mwanaume mmoja wakiwa wamevalia mavazi yanayomaanisha wanafunga ndoa yaani 'suti na shela'.

Mastaa walioandika ni pamoja na Irene Paul, ambaye amesema, "sijaalikwa na kadi sijapewa, naelewa kiutu uzima lakini Irene Uwoya nakutakia mafanikio mema mama, kapanga Mungu , sijashuhudia lakini picha naiona sasa mimi nani kupinga?. Bado tunataka kujua leo ni 'after party' ya ndoa, ni kuringishiwa cheti au hiyo suti na sura? au ni dinner au ni nini kukoma leo tutakoma 26.10, i saved the date". 

Naye muigizaji Duma ameandika, "hongera sana mama Irene Uwoya" .

Alipotafutwa mmoja ya watu wake wa karibu, akasema kuwa masuala yote yanayoulizwa na kuzunguka vichwani mwa watu yatajulikana hii leo kwenye hafla maalumu ambayo Irene Uwoya ameiandaa.

Siku ya leo, Irene Uwoya amealika vyombo vya habari, mastaa na baadhi ya watu kuhudhuria katika hafla yake itakayofanyika katika moja ya hotel iliyopo Posta Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi