Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hili ndio jina halisi la Alikiba

Ijumaa , 18th Mei , 2018

Msanii Alikiba kwa mara ya kwanza amezungumzia asili ya jina lake Ali Kiba, ambalo wengi wanaamini ndiyo jina lake halisi, jambo ambalo halina ukweli hata chembe.

Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Alikiba amesema jina la Alikiba sio jina lake halisi bali ni jina la utani, ambalo alipewa kabla hajazaliwa.

Akifafanua chanzo cha jina la Kiba, Alikiba amesema wakati mama yake ana ujauzito wake ndugu na marafiki zake walikuwa anampenda kumbana nguo zake na vibanio, wakawa wanamtania mama vibanio mpaka alipozaliwa akaitwa jina hilo la utani, na ndipo lilipozaliwa jina la kiba.

“Kiba ni jina langu mimi tena la utani, wakati mama yamgu alipokuwa na ujauzito wangu, sasa wale mawifi zake, marafiki walikuwa wanambana nguo kwa vibanio wakawa wanamtania mama kibanio, mpaka nilipozaliwa wakawa naniita kibanio, ndio lilipozaliwa la 'Kiba', jina langu halisi mimi ni Ali Saleh Gentamilan", amesema Alikiba.

Jina la 'Kiba' limekuwa kubwa kiasi kwamba karibia watu wote kwenye familia yao wanalitumia akiwemo mdogo wake Abdu Kiba, dada yake Zabibu Kiba na mtoto wake Kiba Junior.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi