Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ibraah aeleza alivyosafa miezi miwili getini

Jumanne , 19th Mei , 2020

EATV & EA Radio Digital, imepiga stori na msanii wa Konde Music Ibraah Tz, ambaye yupo chini ya Harmonize, na amesema kabla hajatoka alihangaika sana kumpata Harmonize ila aliishia getini kwa miezi miwili na hakumpata.

Kutoka upande wa kushoto ni Harmonize, kulia Ibraah Tz

Ibraah Tz amesema anamshukuru Harmonize kwa sababu, alimkuta hayupo vizuri na bila ya kuwa na kipaji cha kutosheleza lakini akatengenezwa hadi amefikia alipo sasa.

"Kabla ya hapo nilikuwa naendaga sana getini kwake kuomba nafasi ya kuonana naye na nikafanya hivyo kwa miezi miwili lakini sikupata nafasi hiyo, ila kuna mjomba wangu alikuwa ananisadia kunipa nauli, akajitahidi kunikutanisha na producer Bonga ndiyo nikapata nafasi ya kufika Konde Music" ameeleza Ibraah Tz

Pia Ibraah Tz ameendelea kusema kabla hajasainiwa Konde Music, ameshazunguka sana kwenye studio na wasanii wengine kutafuta msaada ila ikashindikana japo hawezi kuwazungumzia kwa sasa wasanii hao ni kina nani.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa