Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Idris Sultan ajibu madai ya kutafutiwa Wanawake

Jumanne , 8th Oct , 2019

Mchekeshaji maarufu Bongo Idris Sultan, amejibu madai ya kutafutiwa wanawake na msanii wa kike Lulu Diva , pamoja na matumizi ya condom anapokutana kimwili na mpenzi wake.

Idris Sultan

Kama unakumbuka siku kadhaa zilizopita tulikuwekea stori ya Lulu Diva ambaye alisema anamtafutiaga Wanawake Idris Sultan kwa kumpatia namba za simu kisha anamalizana nao kwa shughuli zake binafsi.

Sasa kuhusu suala hilo, EATV & EA Radio Digital, imempata Idris Sultan ambaye amekiri 'issue' hiyo pia amefunguka kuhusu mpenzi wake Lulu Diva.

"Ndiyo ananipa sasa kwanini nidanganye ila hata sikumbuki namba ngapi amenipa ila nikimuona akiwa na Mwanamke huwa namuuliza huyu ni nani kisha namwambia nataka nifanye nae kazi, ila shemeji yangu kwa Lulu Diva namjua na nilishawahi kuongea naye kwenye simu ila anapenda mambo ya siri sana", ameeleza.

Aidha kwa upande wa matumizi ya kinga wakati anafanya mapenzi Idris Sultani amesema kila siku huwa anatumia condom pia yupo salama sana.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali