Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Irene Uwoya amfungukia Dogo Janja

Jumapili , 9th Dec , 2018

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya ambaye amewahi kuwa mke wa mwanamuziki Dogo Janja, amesema kuwa anachokifanya msanii huyo kwa sasa ni kizuri na kinatakiwa kiendelezwe ikiwa ni katika kurudisha msaada kwa jamii yake.

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya, akiwa na Dogo Janja.

Uwoya amezungumza hayo katika uzinduzi wa filamu mpya ya msanii mwenzake, Gambo Zigamba ambapo amesema kuwa suala la kutoa misaada kwa jamii ni jambo jema na ambalo linatakiwa kuwekewa muendelezo.

"Ni kitu kizuri kufanya vile maana inarudisha fadhila kwa mashabiki, na anatakiwa kuendeleza zaidi na zaidi", amesema Uwoya.

Mbali na Dogo Janja kumkabidhi mama yake mzazi nyumba aliyomjengea, pia alirudi kwenye shule ya msingi aliyosoma jijini Arusha, shule ya msingi Ungalimited na kutoa ndoo ishirini za rangi pamoja na kukarabati shule hiyo kwa kuezeka mabati.

Ikumbukwe kuwa wawili hao walikuwa kwenye mahusiano ambayo yalipelekea hadi kufunga ndoa, lakini siku za karibuni ukaribu wao umepungua ambapo inasemekana kuwa wameachana kutokana na kila mmoja kufanya mambo yake mwenyewe.

Hakuna kati yao aliyethibitisha kuachana kwao lakini Irene Uwoya hivi karibuni aliwahi kusema kuwa hakuwahi kubadili dini na kuwa Muislamu, hali inayoonesha kuwa mapenzi yao sasa yamefikia mwisho.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja