Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Isha Mashauzi kuacha taarab?

Alhamisi , 7th Mar , 2019

Baada ya kushirikishwa kwenye wimbo wa Bam Bam wa Fid Q, Richi Mavoko na Big Jaman, Isha Mashauzi amekanusha tetesi zinazosema kwamba ataiacha taarabu na kuhamia katika muziki wa bongo fleva.

Isha Mashauzi

Isha amesema hawezi kuacha kuimba muziki wa taarabu kwa kuwa muziki wa taarabu ndo umemtangaza na kumfanya yeye kuwa na jina alilonalo hivi sasa akisema kuwa kwa upande wa Bongo Fleva kuna wanaofanya vizuri hivyo inabidi awaachie nafasi na sio kwamba anaogopa kushindwa. 

Hata hivyo Isha ameendelea kusema kwamba, "haikuwa rahisi kujiamini kufanya kazi ya Fid Q kwa kuwa ilikuwa mara yangu ya kwanza kufanya wimbo wa Bongo Fleva, nilikuwa nahofia japo niliingiza yale mashairi kwa siku moja na kwa muda mfupi kama masaa mawili hivi nikayaacha studio na kuamini chochote kitakacho tokea nitapigiwa simu".

"Lakini badae kuna mtu alikuja na kuniambia amesikiliza verse za wimbo huo nilizofanya na kunisifia kwamba ni nzuri na baada ya wimbo kutoka, Fid Q alinipongeza kuwa nilichokifanya kipo vizuri".

Pia Isha amemaliza kwa kusema anapenda kujifunza pale anapokosea na hapendi kiki kwa kuwa anaamini kwamba muziki wake pekee ni kiki tosha hivyo hawezi kutafuta kiki na kama kuna nyimbo yake ambayo anaambiwa ameimba vibaya huwa anakaa na kuisikiliza ili kuweza kuifanyia marekebisho badae. 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil