Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'J Combat' lapewa nafasi nyingine Dance100%

Ijumaa , 9th Sep , 2016

Kundi la J Combat kutoka Zanzibar lililoshiriki Dance100% 2016 hadi nafasi ya nusu fainali na kutolewa, limerejeshwa baada ya kubainika kuwa lilishindwa kutokana na muda wa maandalizi katika wimbo mmoja haukuwa sawa ikilinganisha na makundi mengine.

J Combat Crew

Meneja Mauzo na Masoko wa East Africa Television Bw. Roy Mbowe amesema uamuzi wa kurejesha kundi hilo umefikiwa baina ya waandaaji wa shindano EATV pamoja na BASATA baada ya kujiridhisha kwamba kuna umuhimu wa kurejesha kundi hilo ili kujenga usawa kwa washiriki wote.

“Imegindulika kwamba wimbo mmoja walifanya mazoezi kwa muda pungufu wa wiki moja ukilinganisha na makundi mengine ambayo yalifanya mazoezi kwa muda wa wiki mbili ambapo BASATA pia wamepitia jambo hilo na kwa pamoja tukaridhia kuwarejesha baada ya kuona wana sababu ya msingi” Amesema Roy.

Maamuzi ya kurejeshwa kwa kundi hilo yametangazwa leo mbele ya uwakilishi wa BASATA pamoja na makundi yote matano ambayo yalifuzu hatua ya fainali.

Kufuatia kundi hilo kurejeshwa katika fainali ya mwaka huu yatashiriki jumla ya makundi sita, ambapo mshindi atajinyakulia shilingi milioni 7.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya