Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jacqueline Wolper atuhumiwa kuiba mwanaume wa mtu

Jumatano , 19th Feb , 2020

Mtanzania anayetoka na mzungu aliyempita miaka 32 Azzy Super amesema msanii Jacqueline Wolper alimuibia mwanaume wake wa zamani ambaye ni msanii wa HipHop Lord Eyes.

Picha ya msanii Jacqueline Wolper

Azzy Superstar ameiambia EATV & EA Radio Digital, wakati Jacqueline Wolper anatoka kwenye mahusiano na aliyekuwa mwanaume wake Lord Eyes, alikuwa anampiga vijembe kwenye mtandao wa Instagram kwamba atafute wa saizi yake.

"Nilikuwa naishi na Lord Eyes Arusha, tulivyofika Dar es Salaam baada ya kupendeza ndiyo akaanza kutoka na Wolper mimi akaniacha kisa sio levo zake, kipindi wapo kwenye mahusiano Wolper alikuwa ananirushia vijembe kwenye mtandao wa Instagram ambavyo vilikuwa vinanilenga mimi kwamba nipambane na hali yangu" ameeleza Azzy Superstar.

"Wolper alikuwa anampigia simu binamu yangu kwamba niachane na Lord Eyes na nisijifanye kama mimi ni mtu wangu ili wao waendelee na mapenzi yao, yeye ni dada wa mjini anafanya anayoyafanya" ameongeza.

Aidha amesema kitu anachojutia kwa Lord Eyes ni kupoteza muda wake na pesa juu ya kumsaidia kipindi alipokuwa soba.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali