Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Je, huyu ndiye mpenzi mpya wa Vanessa Mdee

Jumatano , 23rd Oct , 2019

Msanii na  mrembo kutoka nchini Tanzania Vanessa Mdee huenda akawa katika penzi jipya na msanii mwenye asili ya Nigeria anayefanya shughuli zake Marekani aitwaye Rotimi.

Upande wa kushoto pichani ni Vanessa Mdee na kulia ni Rotimi

Wawili hao wameoneakana wakiwa pamoja  katika sehemu ya mapumziko kwenye bwawa la kuogelea "swimming pool" huko nchini Marekani huku wakila bata na kuvinjari.

Aidha kama haitoshi wawili hao walirekodi video fupi ikionyesha wakiwa pamoja kupitia Insta Story ya mtandao wa kijamii wa Instagram na  hata picha za mwisho walizopost kupitia mtandao huo mahali "Location" ilisoma wakiwa sehemu moja.

Pia kupitia post hizo hizo za Insta Story za mtandao huo wa Instagram Vanessa Mdee alitangaza kuwa sasa hivi atakuwa ana "block"sana watu kupitia mitandao ya kijamii.

Vanessa Mdee alikuwa na mahusiano na msanii wa RnB Bongo Juma Jux kwa muda wa miaka 6, ila walitoa taarifa za kuachana kupitia mitandao ya kijamii na baadhi ya mahojiano  kwenye vyombo vya habari mwezi wa 7 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi