Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Je, Ray amemnywesha maji mtoto wake?

Alhamisi , 19th Jan , 2017

Muigizaji wa filamu za bongo Ray Kigosi amebahatika kupata mtoto baada ya mchumba wake Chuchu Hans kujifungua mtoto wa kiume.

Ray Kigosi akiwa na mchumba wake Chuchu Hans kabla ya kupata mtoto.

 

Ray Kigosi ambaye ameonesha kuwa na furaha kubwa kupata mtoto wa kiume amefunguka na kuwataka watu waache maneno yao kuwa mtoto amekunywa maji mengi kutokana na weupe wake na kusema kuwa mtoto huyo anaonekana hivyo kwa kuwa bado ni mdogo na kwamba ile ilikuwa ni kauli ya utani.

Kauli hiyo inaonyesha ni jinsi gani Ray Kigosi amefurahi kupata mtoto wa kiume ambaye yeye anamwita pacha wake.

Muonekano wa baadhi ya sehemu za mwili wa mtoto wa Ray

"Asante Mungu kwa kuniletea pacha wangu asante 'my lovely' Mzungu kwa kunipa heshima kubwa kunifanya niitwe baba, Mungu wangu wa haki asiyeshindwa na jambo akubariki sana. Sasa msianze maneno yenu kwamba mwanangu amekunywa maji, mtoto bado ni mchanga maana watu wa Insta kiboko lakini hawaishi mtoni". Aliandika Ray Kigosi 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi