Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kaka Tuchati, goma nimelielewa sana"-Naibu Waziri

Jumamosi , 16th Mei , 2020

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza amemaliza bifu na kuwapa ushauri wanamitindo Calisah na Ben Breaker pia amesema ameilewa ngoma mpya ya kundi la Rostam "kaka tuchati".

Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Juliana Shonza

Akizungumza kwa njia ya simu kupitia show ya "Friday Night Live" ya East Africa TV, Naibu Waziri alianza kuwapa ushauri wanamitindo hao ambao walikuwa wana bifu siku za nyuma, kisha akamalizia kwa kusema ameilewa ngoma ya kaka tuchati.

"Niwapongeze kwa kuwakutanisha hao vijana wetu wawili, nafikiri sisi kama Wizara ambayo tunasimamia kazi za sanaa naona tasnia ya ubunifu na uwanamitindo bado ni changa hapa kwetu na inakua, kwa hiyo waliokuwepo wanahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja ndiyo maana nikawasisitiza huu sio wakati wa malumbano na kuangalia nani mkubwa nani mdogo" ameeleza Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa, na Michezo

Aidha katikati ya mahojiano hayo akamalizia kwa kusema msalimie Stamina namuona hapo, goma nimelielewa sana kaka tuchat. 

Mahojiano kamili tazama kwenye video hapa chini.

 
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa