Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Mama la mama kuzinduliwa leo

Jumamosi , 1st Mei , 2021

Kuelekea siku ya mama duniani Kampuni ya East Africa TV inazindua rasmi Kampeni ya Mama la mama ambayo ni inahusu kusheherekea kazi kubwa wanazozifanya wakina mama kwenye familia zao.

Picha ya baadhi ya wafanyakazi wa kike kutoka East Africa TV wakiwakilisha Mama la mama

Kampeni hiyo itazinduliwa leo Mei Mosi Samaki Samaki Mlimani City na itakuwa inashirikisha wananchi mbalimbali kueleza kwanini anahisi mama yake anastahili kuwa mama la mama ambapo mshindi atapata zawadi za thamani.

Baadhi ya zawadi zitakazotolewa kwa washindi wa kampeni hiyo ni Tsh Milioni 1 ambayo itaingizwa kwenye Akaunti ya UBA na jiko la kupikia la kisasa lenye thamani ya Tsh Laki 7 kutoka Jaden Home Store.

Zawadi zingine ni king'amuzi cha  DSTV na malipo ya kifurushi cha juu cha Premium , bidhaa za urembo kutoka Atsoko zenye thamani ya Milioni, Sabuni za OMO, pamoja na chakula cha mchana na watoto wake kwenye hoteli ya Levant iliyopo Masaki Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro