
Anne Kansiime | Bascketmouth
Uteuzi wa wakali hawa wa kuvunja mbavu, tayari umeongeza msisimko mkubwa kwa wapenzi wa burudani kutokana na uwezo wao mkubwa katika fani hiyo.
Africa Muzik Magazine Awards ama AFRIMMA, ni tuzo zinazoandaliwa huko Marekani, kwaajili ya kutambua sanaa ya muziki wa kiafrika kwa ujumla.