Kulia ni picha ya msanii Alikiba, kushoto ni Liah
Liah anasema wimbo wake umekopiwa na Alikiba kupitia ngoma ya sitaki tena inayopatikana kwenye Album ya Kiba 'Only One King' huku muandishi wa ngoma hiyo ni Tommy Flavour.
Zaidi mtazame hapa kwenye video akitoa maelezo kuhusu sakata hilo.