Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Rosa Ree kuhusu video zake

Jumatano , 6th Nov , 2019

Rapa wa kike kutoka nchini Tanzania, Rosa Ree, ameomba radhi kwa watanzania baada ya kusambaa kwa video zake, zikionesha akishikwa maungo ya kifuani kwake na msanii mwenzake aitwaye Timmy Tdat.

Rosa Ree kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, amepost kipande cha video fupi kilichonesha akiomba radhi kwa mashabiki na watanzania kwa ujumla.

"Ningependa kuomba radhi kwa waliokwazika  na ile video iliyosambaa mtandaoni, leo hii nimefurahi kukutana na Bodi ya Filamu Tanzania na wamenielimisha mengi kuhusiana na sanaa na kanuni zake, tutaendelea kufanya kazi pamoja ili kuweza kuifikisha sanaa ya Tanzania mbali zaidi"  ameeleza Rosa Ree.

Aidha msanii huyo ameongeza kuwa, "Nimefahamu kama msanii natakiwa nipeleke  'scripts'  yangu ya video kwenye Bodi ya filamu kabla sijaiachia na pale nitaweza kupata kibali ambacho nitaweza kuiachia, naahidi kazi zangu zitakuwa zenye kiwango cha juu".

Siku ya Novemba 5, 2019, kupitia mtandao wa Instagram zilionekana video zikimuonesha Rosa Ree, anashikwa  maungo ya kifuani kwake na msanii kutokea nchini Kenya, ambaye inasemekana ni mpenzi wake aitwaye Timmy Tdat, huku maungo yake mengine ya mwili yakionekana kuwa wazi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi