
Picha ya pamoja Msanii Khaligraph Jones na Blaq Bonez
Uadui wao wameumaliza kwa kuonekana studio pamoja wakihisiwa kupika pini jipya huku Bien Sol wa Sauti Sol akiwa kama mwamuzi wa pambano lao ambapo kitendo hicho kimetafsiriwa kama ni ukomavu wa tasnia ya hip hop Afrika .
Blaq Bonez kwa sasa yupo nchini Kenya kwa siku kadhaa sasa akitangaza albamu yake ya mpya ‘Sex Over Love’ iliyotoka Aprili 30, 2021 chini ya Chocolate City.