Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichomfanya Roma abadilike kimuziki ni hiki..

Alhamisi , 19th Jan , 2017

Rapa Roma Mkatoliki aliyejizolea umaarufu na kufahamika kwa kuimba ngoma zenye mlengo wa siasa na zenye kuleta changamoto kwa viongozi mbalimbali wa taifa amefunguka na kusema kuwa yeye hawezi kuacha muziki wa harakati.

Roma Mkatoliki

Amesema hawezi kufanya hivyo kwa kuwa muziki huo ndiyo umempa heshima na mafanikio makubwa pamoja na imani kubwa kwa wananchi.

Roma Mkatoliki anasema hivi sasa ameamua kubadilika kidogo katika ngoma zake akiwa na lengo la kwenda sawa na muziki wa sasa lakini pia kutaka kuonesha kuwa anaweza kufanya jambo lolote kwenye muziki.

"Huo muziki wa harakati mimi ndiyo umenipa mafanikio na siwezi kuacha hata siku moja, kuna watu wengi wanafanya muziki huo mgumu lakini hawapati nafasi lakini mimi kila show kubwa nitakuwepo na kuimba ngoma hizo hizo na kusepa na kijiji changu, kwa hiyo ni muziki ambao unanilipa na umenipa mafanikio saizi najaribu kuonesha kitu tofauti ambayo siyo dhambi mwingine anaweza kuja na misimamo yake akasema mimi nimesimama hapa" alisema Roma Mkatoliki  

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi