Jumatatu , 9th Mei , 2016

Rapper kutoka Bongo Kimbunga Mchawi amekanusha kushirikiana ngoma na rapper Nay wa mitego huku akidai kuwa msanii huyo si mkali katika uimbaji

Rapper kutoka Bongo Kimbunga Mchawi

Akizungumza na Enewz Kimbunga alisema kuwa Nay hajui nguzo za hip hop wala pia hajui nini anafanya kwahiyo yeye hawezi fanya kazi na msanii huyo

"Mimi sijawahi kumshirikisha na Nay wa mitego lakini Nay amenishirikisha mimi na nilifanya ngoma ile baada ya kuona kuna wasanii wakali waliokuwepo",alisema kimbunga.