Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kimeumana, Nay na Baby mama wake wapeana makavu

Jumatatu , 10th Mei , 2021

Ni headlines za msanii Nay wa Mitego na mama wa mtoto wake Skyner Huniz ambapo siku ya leo wametupiana vijembe kupitia mtandao wa Instagram.

Nay wa Mitego na Baby Mama wake Skyner Huniz

Vijembe hivyo vimeanza baada ya Nay wa Mitego kumjibu shabiki kwamba hawezi ku-deal na mwanamke ambaye kilaza na mvuta bangi akiwa anamaanisha ni mama wa mtoto wake Skyner Huniz.

Baada ya muda mama wa mtoto wake huyo aliweka ujumbe ambao unaeleza kwamba Nay wa Mitego alipe ada ya mtoto kwanza la sivyo ataongea mambo mengine ya kumdhalilisha.

"Nimekuwa mvuta bangi leo hii daah, Mwanaume mwenye akili timamu hakimbii majukumu kwa mwanae wa damu, kwanini ada ya mtoto izue balaa lipa ada kabla sijachukua sheria, nikiamua kufungua huu mdomo utadhalilika, mimi ni kobe nimeinama nikinyanyua kichwa nikianza mwendo tusilaumiane" ujumbe wa Skyner Huniz 

Maneno hayakuishia hapo kwani Nay wa Mitego akajibu kupitia Insta Story yake kwa kuandika "Mwanamke anayejitambua hawezi kuweka matatizo ya kifamilia kwenye mitandao, unayenilalamikia nilipe ada umeni-block sasa napataje ujumbe wako, ina maanisha watu wa Instagram ndio walipe ada ya mwano, ushauri wangu nenda Mahakamani achana na mitandao" 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke