Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kisa Fredy Sponsa amuachia Nai kwa Moni yake

Jumamosi , 21st Nov , 2020

Sponsa amuachia Nai kwa Moni yake ni 'comment' ambayo ameiandika shabiki baada ya msanii Moni Centrozone kushea 'cover' ya wimbo mpya wa aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Official Nai.

Picha ya pamoja ya Official Nai na Mone Centrozone

Kuvunjika kwa penzi lao kumefanya kuzungumziwa sana mitandaoni siku za hivi karibuni, pia wamekuwa wakirushiana maneno kwenye mistari ya nyimbo zao na 'interview' wanazozifanya.

Sasa kupitia show ya Friday Night Live ya East Africa TV Official Nai amefunguka kila kitu kuhusu chanzo cha kuachana kwao ambapo amesema Moni alimuhisi anatoka na mfanyabiashara Fredy.

"Haya yanayoendelea mtandaoni yalianza nilipokwenda kwa Fredy kuongea naye biashara, comment zikawa nyingi lakini mimi sina mahusiano naye mwanzoni hata yeye alidhani mimi nafanya kiki lakini si kweli, tulipoanza ugomvi mimi niliondoka kwa Moni nikawa nakaa peke yangu tukawa tunawasiliana lakini baadaye ikafikia hatau kila mtu na mambo yake" amesema Official Nai

Kwa sasa Official Nai ameingia rasmi kwenye biashara ya muziki na ametoa wimbo wake mpya wa 'sisi sio saizi yao' ambapo mwanzo alikuwa video vixen.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi