Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kisa Mobetto, Christian Bella amchana Alikiba

Jumamosi , 20th Jul , 2019

Mwimbaji Christian Bella, amewajibu wale wote ambao wanamsema Hamisa Mobetto kwamba hajui kuimba, pia amemchana msanii na mfalme wa Bongo Fleva Ali Kiba.

Christian Bella, Hamisa Mobetto na Alikiba

Christian Bella amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital na kusema wapo mastaa wengi hawajui kuimba na wamuache Hamisa Mobetto.

"Tukitaka kuchambua watu wasiojua kuimba ni wapo wengi, kuna watu wengi ni mastaa lakini sio wakali wa kuimba wanatengenezwa studio, tusimjaji tu Hamisa, siwezi nikamtaja mtu kwamba hajui kuimba ila tukitaka kwenda kwenye vigezo tutafika huko, wanapiga "verse" kila baada ya sekunde tano wanaonganisha na ni mastaa tu".

Pia amesema kinachondelea kati yake na Hamisa Mobetto ni kazi tu hakuna mapenzi kama watu wengi wanavyodhani na wanampango wa kuandaa tamasha kubwa la kimuziki hapa nchini Tanzania.

Aidha msanii huyo amemchana Mfalme na Staa wa Bongo Fleva Ali Kiba, kwa kumwambia huwa anamuudhi sana tabia yake ya kupenda zaidi mpira kuliko muziki, na alishamwambia aachane na mpira ili wafanye muziki lakini Ali Kiba haelewi.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali