Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ku-date na watoto wa mwisho tabu sana" - Chris

Alhamisi , 17th Sep , 2020

Mwanasaikolojia na Mshauri Mahusiano Chris Mauki amesema kuwa kwenye mahusiano na mtoto wa mwisho kwenye familia ni shida sana kwani wamezoea na kutaka kufanyiwa kila kitu.

Mwanasaikolojia na Mshauri Mahusiano Chris Mauki

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Chris Mauki amesema uki-date na watoto wa mwisho unaweza ukadhani kama umeoa familia nzima jinsi utakavyomfanyia mtoto wao.

"Oda ya kuzaliwa ina ishu sana matokeo yake wanashindwa kukabiliana nayo, kwenye jamii mtoto wa kwanza anakuwa kiongozi na kufundishwa kufanya maamuzi,  mtoto wa pili anakuwa kama ana-loose kitu kisa mtoto wa kwanza yupo, anayefuatia anakuwa yupo cool sana anapatanisha watu wakikosana, ila wa mwisho wanakuwa hawajishughulishi wanapenda kufanyiwa pia wanakuwa na hisia sana

"Ukidate na mtoto mwisho kwenye famili Utashangaa ukimuona kwenye mahusiano utadhani kama umeoa familia nzima akionekana vibaya utasemwa wewe akikonda utaulizwa wewe au usipompa maziwa utaulizwa wanakuaga na shida sana hii

Pia ameongeza kusema kama wakikutana mtoto wa mwisho na wa mwisho mwenziye kwenye mahusiano yao wanaweza wasifanye maamuzi na wanaweza hata wasijenge kabisa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi