Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuna upinzani wa hali ya juu Dance100% - Nyamwela

Jumanne , 13th Sep , 2016

Jaji wa shindano la Dance100% Super Nyamwela amesema kutokana na kiwango ambacho kimeoneshwa na washiriki wa shindano hilo tangu lianze ni dhahiri kwamba upinzani kwenye fainali utakuwa mkubwa sana.

Jaji wa Dance100% Super Namwela

Akizungumza na EATV Nyamwela amesema kuna vipaji vingi sana ambavyo vipo kwa vijana ambao wameshiriki Dance100 jambo ambalo linaonesha wazi kwamba wakipata sapoti wanaweza kufika mbali zaidi.

“Ukiangalia walioweza kupenya hadi hatua ya nusu fainali, wameonesha kwamba ni wasanii ambao wanafaa kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ndiyo maana hata kwenye kutoa alama tunakuwa makini sana ili kuweza kuangalia kundi linaloonesha ubunifu zaidi la lingine” Amesema Nyamwela.

Aidha Nyamwela ameongeza kuwa makundi ambayo yamebahatika kutinga fainali yanajipanga kikamilifu kwa ajili ya kushiriki hatua ya fainali ambapo kundi litakaloshinda litapatikana kutokana na namna watakavyoonesha uwezo na ubunifu siku hiyo.

Shindano la Dance100% linadhaminiwa na Vodacom na Coca Cola na kuonyeshwa na EATV pekee kila Jumapili saa moja jioni.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya