Jumamosi , 3rd Dec , 2022

Msanii wa BongoFleva Whozu amesema lazima ampe ujauzito staa wa filamu Wema Sepetu na atafurahi kama akipata mtoto wa kiume. 

picha ya Wema Sepetu na Whozu

Whozu amesema hilo alipokutana na Camera za waandishi wa habari kwenye 'Album Listening' ya msanii Marioo iliyofanyika Masaki jijini Dar es Salaam.

"Ujauzito wa kwanza uliharibika kwa bahati mbaya halafu wanafikiri ni uongo, pale lazima niweke awe mdogo wake Lora, naomba Mungu awe wa kiume na mama yake ni Wema Sepetu labda nife" - Whozu