Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Luffa atoa onyo kali

Jumatatu , 24th Jul , 2017

Mtayarishaji wa muziki King Lufa amewataka wasanii kutoka 'Switcher Music Group' kuheshimu kipaji chake na kuwafahamisha kuwa muziki ni biashara kama zilivyo nyinginezo.

Lufa amelazimika kutoa kauli hiyo kwa madai ya kuwa kundi hilo limetoa nyimbo tatu alizozitengeneza wakati akifanya kazi kwenye studio ya switch na kusema kwamba anashangaa kazi zake kutoka bila makubaliano yoyote.

"Mimi muziki ni kazi yangu, na huwa sikubaliani na watu wanaotaka kunirudisha nyuma. Ni kweli mimi sasa hivi nipo Wanene lakini kuna kazi zangu nyingi niliziacha kwa Switcher nilioondoka cha kushangaza wanaendelea kutoa kazi nilizozitengeneza mimi. Wao wanazidi kunufaika kimuziki Halafu mwenye midundo sina taarifa siyo busara," alifunguka

Ameongeza kuwa "Sasa hivi nafanya biashara hakuna tena ile kupeana kazi kiushkaji. Hata kama kuna ugomvi hayo ni mambo yanayokujaga na kupita, kila moja aheshimu kazi ya mwenzake kwa sababu mwisho wa siku mimi na wao tunategemeana kwani hakuna msanii bila prodyuza. Tusichukuliane poa," aliongeza Lufa.

Kuachana na hayo mtayarishaji huyo nyimbo kubwa mbalimbali hapa nchini amewataka wasanii kuhakikisha wanajiongeza kutoka sehemu moja kwenda nyingine haswa wanapokuwa wakifanya shoo na kutotegemea kuimba kwa kutumia CD.

"Wasanii wetu wajiongeze, wao ndiyo watu wanaoutangaza muziki wa Tanzania hivyo ni vizuri wakabadilisha mifumo ya kufanya show, waanze kuimba hata 'Live' ili kupambana na wenzetu waliopiga hatua kimuziki. Wapige mazoezi ya kutosha," amesema
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke