Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lulu Diva afunguka hatma ya Idris Sultan

Alhamisi , 31st Oct , 2019

Dada wa mchekeshaji Idris Sultan, Lulu Diva, amesema hadi sasa wamekwishampata Mwanasheria ambaye atamsaidia mdogo wake kupata dhamana, baada ya usiku wa kuamkia leo kujisalimisha Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital, leo Oktoba 31, 2019, Lulu Diva licha ya kupata kigugumizi juu ya namna ya kuzungumzia suala la ndugu yake kulala polisi, aliomba aachwe kwa muda kwa kuwa hata yeye haelewi hatma ya suala hilo.

"Kwakweli siwezi kuongela chochote kwa sababu mpaka sasa hivi kaka yangu yupo ndani na sijajua inakuaje, yupo Polisi Central, bado hatujapata taarifa yoyote, ndiyo tupo hapa na Mwanasheria kwa ajili ya kufuatilia kila kitu, mimi sifahamu naombeni mniache sijiskiii, siwezi na sipo katika 'mood' ya kuongea, tupo katika mipango ya kumsaidia tuone anatokaje ndani" amesema Lulu Diva.

Jana Oktoba 30, 2019, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,alimuagiza msanii huyo kujisalimisha katika kituo chochote cha polisi na kwamba maelezo yote angeyakuta huko, baada ya kuhariri picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, na kuweka sura yake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali