Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lulu Diva anamzidi miaka 10 Harmorapa

Jumatano , 11th Sep , 2019

Wiki iliyopita ilitrend habari inayomhusu msanii Lulu Diva baada ya kuhojiwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI na kusema kwa sasa ana umri wa miaka 19 na atarajiwa kuolewa akifikisha miaka 25.

Harmorapa na Lulu Diva

Leo limeibuka lingine katika kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa msanii Harmorapa ambaye ameandika kuwa amefikisha umri wa miaka 9 ikiwa ni miaka 10 pungufu ya Lulu Diva.

Harmorapa ameweka wazi kwamba ana umri huo baada ya kupost picha katika mtandao wa kijamii kisha kuandika,

"Namshukuru Mungu siku kama ya leo mwaka 2011 nilizaliwa kijana wenu Athumani Omary a.k.a supa staa Harmorapa, nawaomba muungane kunitakia kheri ya kusheherekea kwa kutimiza miaka 9 ya kuzaliwa".

Tulijaribu kumtafuta Harmorapa ili alitolee ufafanuzi kwa nini aliandika ana miaka 9 hali ya kuwa anaonekana mkubwa kuliko umri huo lakini hatukuweza kumpata.

Aidha rapa Nikki Wa Pili aliwahi kusema sababu za mastaa kudanganya umri zinatokana na kibiashara zaidi au mtu anaweza akakujaji kutokana na umri wako.

Usikose KIKAANGONI leo ambapo atakuwepo Amber Lulu. Kipindi kinaruka 'LIVE' katika kurasa za mitandao ya kijamii ya Facebook na YouTube jina East Africa Television, ni kuanzia saa 8:30 hadi 9:30 mchana.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa