Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii Meja Kunta apata ajali

Jumamosi , 1st Feb , 2020

Mapema asubuhi ya leo Februari 1, 2020, zimetoka taarifa za kupata ajali ya gari kwa msanii chipukizi wa Singeli Meja Kunta, maeneo ya Segera mkoani Tanga wakati anatokea Dar es salaam kwenda kufanya show huko.

Kushoto ni Meja Kunta, kati Man Fongo, kulia ni Madee

EATV & EA Radio Digital, imewapata wasanii Madee na Man Fongo ambao walikuwepo eneo la tukio na wamenyoosha maelezo kuanzia ajali ilivyotokea, chanzo na kinachoendelea kwa sasa.

"Nilikuwa napita na safari zangu nikaukuta huo msala barabarani, nilichokifanya ni kusaidia kumuhamisha kwenye gari na kuwahishwa Tanga hospitali, wametoka Dar kuja huku walivyofika maeneo ya Segera nafikiri dereva wao alikuwa na usingizi na gari ikahama na kutumbukia chini kwenye bonde, Meja Kunta ndiyo alikuwa siriazi sana maana ameumia mbavu" amesema Madee.

Kwa upande wa msanii mwenzake wa Singeli Man Fongo, akizungumzia tukio hilo ameeleza kuwa  "Kwa kweli amepata ajali tulikuwa tunaenda kufanya show Tanga, mimi niliwahi kufika nikawaacha nyuma ila nikapigiwa simu kwamba wamepata ajali ndiyo tukarudi eneo la tukio, wanaendelea vizuri hakuna aliyepata majeraha makubwa ila wameumia ndani kwa ndani, ajali imetokea mida ya saa 10:00 kuelekea Saa 11:00 Alfajiri".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali