Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makundi Dance100% yatambiana kuibuka na ushindi

Jumatatu , 22nd Aug , 2016

Baadhi ya makundi yanayoshiriki shindano la Dance100% yameanza kutambiana kila moja likisema ndilo litaibuka na ushindi na kujinyakulia kitita cha milioni 7 ambazo ndizo zitatolewa kwa mshindi mwaka huu.

Moja kati ya makundi yanayoshiriki katika shindano hilo

Wakizungumza na EATV kwa nyakati tofauti kundi la The Quest Crew wamesema mazoezi wanayoendelea nayo ni ya nguvu na ufundi wa hali ya juu ambapo wanaamini wataibuka na ushindi.

Mwenyekiti wa kundi hilo Brown Bryton amesema wao wanaamini kwamba ubunifu na kufuata maelekezo ya majaji lazima vitawafanya wanyakue ushindi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kundi la Tatanisha kutoka Mabibo amesema kundi lake limeshabaini udhaifu wa wenzao na ndiyo wanaufanyia kazi na imani yao ni kwamba wao ndiyo watachukua ushindi mwaka huu.

Aidha Mwenyekiti wa kundi la Ikulu Vegaz Ramadhani amesema kundi lake ni mara ya tatu kushiriki na nia yao siyo kushiriki kama miaka mingine ila mwaka huu wamepania kuchukua ushindi kwa kuwa makosa waliyorekebishwa na majaji wameyafanyia kazi na wanajiamini kwamba wao ndiyo watatangazwa washindi.

Makundi 10 ambayo yalifuzu hatua ya robo fainali yatashiriki hatua ya nusu fainali wili ijayo ambapo makundi matano yatabakia katika hatua ya fainali.

Shindano la Dance100% linaoneshwa na EATV siku ya Jumapili saa moja jioni kwa udhamini wa VODACOM na COCA-COLA.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini