Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makundi kibao yajitokeza usaili wa pili Dance100%

Jumamosi , 23rd Jul , 2016

Shindano la Dance100 linaloendeshwa na kituo cha EATV limeingia katika usaili wa pili leo katika viwanja vya Don Bosco Upanga Jijini Dar es salaam ambapo makundi 21 yamejitokeza tofauti na usaili wa awali ambapo yalijitokeza makundi 10.

Kundi la The Quest Crew, ambalo limefanikiwa kutinga tano bora ya usaili wa Dance100 Don Bosco Upanga Dar es salaam.

Jaji Super Nyamwela amesema hamasa imezidi kuongezeka katika shindano hilo kutokana na vijana kutambua umuhimu wa shindano pamoja na zawadi iliyopo ambapo kwa sasa mshindi kunyakua shilingi milioni 7.

''Makundi mengi yamejitokeza na hii inaashiria kwamba uelewa wa shindano ndani ya jamiii unazidi kuongezeka , ndiyo maana kuna makundi mengi yametoka mikoani kuja kuonesha vipaji jambo ambalo ni jema ili waweze kutambulika na kupewa nafasi kulingana na ubunifu na uwezo wao''Asmesema Jaji Nyamwela

Baada ya vijana kuonyesha uwezo wao kwa kila kundi kuonyesha utofauti na jingine makundi ambayo yameweza kufanikiwa kushinda katika usaili wa leo ambayo ni J Combat Crew, The Heroes Crew, The Quest Crew, TWC na Wazawa Crew.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma