Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama yake Dogo Janja awa hoi baada ya kukabidhiwa

Jumatano , 5th Dec , 2018

Msanii wa Bongofleva Dogo Janja a.k.a 'Janjaro', amesema baada ya kumkabidhi mama yake nyumba mpya na kumtoa kwenye maisha ya kupanga aliishiwa nguvu na hajasema lolote zaidi ya kila muda kuonekana haamini kilichotokea.

Nyumba ambayo Dogo Janja amemkabidhi Mama yake. picha ndogo ni Dogo Janja akiwa na mama yake.

Akiongea na www.eatv.tv leo Dogo Janja amesema aliamua kuvaa jukumu la kuwa baba na kupeleka faraja kwa mama yake mzazi baada ya baba yake kufariki miaka miwili iliyopita.

''Ninafurahi nimekamilisha hili ndani ya miaka miwili, nilijjiwekea malengo haya baada ya kufariki kwa baba yangu ambaye daima alikuwa ananisisitiza niwekeze kwenye mali kama ardhi na nyumba, sasa nimemfurahisha mama yangu kiasi kwamba amekosa cha kusema yaani yuko “Too Emotional”, amesema Janjaro.

Dongo Janja amefunguka kuwa yeye aliondoka nyumbani akawaacha wazazi wake wakiwa kwenye nyumba ya kupanga na muda wote alikuwa analala sebuleni lakini leo ametimiza ndoto kubwa ya kuwa na kwao hivyo mama yake ana haki ya kufurahi.

''Mama ana kila sababu ya kufurahi natamani hata baba angekuwepo yeye alikuwa mshauri wangu mkuu lakini hayupo tena tutaendelea kufanya dua tu kwaajili yake maana ndicho anachostahili kwasasa, huwezi kusema utampa pesa au mali'', ameongeza.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi