Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mama yangu alinizaa wakati anakunywa" - Hemedy PH

Jumatano , 13th Nov , 2019

Msanii wa filamu na muziki Bongo Hemedy PHD,  ameiambia EATV & EA Radio Digital kuwa sababu ya kuzaliwa mzuri 'Handsome Boy' ni kutokana na mama yake kujifungua huku akiwa anakunywa kinywaji.

Hemedy PHD

Hemedy PHD amejibu suala hilo kutokana na watu kumchukulia kama mtu anayependa sana wanawake yaani 'Play boy'.

"Hapana sipendi wanawake, najipenda mimi mwenyewe tena najipenda sana kuliko kitu chochote na upendo unaanza na mimi kwanza. Watu wanaongea sana na kila mtu anaongea lake si unajua tena ukizaliwa 'handsome boy', mimi Mama yangu amenizaa anakunywa kinywaji kwa hiyo ndiyo maana nimetokea hivi mauzo mengi.", amesema Hemedy PHD.

"Kwa hiyo watu hawapendi kila mtu ataongea lake ila mwisho wa siku watu ambao nipo nao na naishi nao, wanaofuatilia maisha yangu na kuijua thamani yangu wanajua mimi ni nani kwao na namaanisha nini, sijali nani atawaza nini au Hemedy ni nani na anafanya nini.", ameongeza.

Pia Hemedy ameendelea kusema anachojua yeye kwenye maisha yake ni kula, kuvaa, kuhakikisha watoto wake wanapendeza na mama yake ana furaha kwani hiyo ndiyo baraka kwake.

 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP