
Msanii wa nchini Uganda Mickie Wine
Mama wa mwanafunzi huyo anayekaa Kayunga, amesema ana watoto 14, ambapo binti yake huyo anakaa na mjomba wake huko Kira.
Wazazi wa mwanafunzi huyo walichanganyikiwa baada ya kupata taarifa kuwa hakuwepo shuleni kwa wiki mbili na kufanya polisi kuanzisha msako.
Rafiki yake wa kike aliwaarifu polisi kuwa mwanafunzi huyo amekuwa akionekana kwa mwanamuziki Mickie Wine ambaye anakaa eneo la Magere.
