Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miaka Mitano ya Mzee Yusuph, Miezi 7 ya Mavoko

Jumamosi , 8th Aug , 2020

Siku ya Jana Julai 7 ilikuwa weekend ndevu sana hapa kwenye Jiji la Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Abubakar Kunenge kwa sababu kulikuwa na matukio mawili makubwa ya burudani ambapo Rich Mavoko alikuwa anaachia Minitapae yake huku Mzee Yusuph akirudi.

Msanii Mzee Yusuph kushoto, kulia Rich Mavoko

Kwa upande wa Rich Mavoko alikuwa kimya miezi saba bila ya kuachia kazi mpya, kuonekana kwenye shughuli za burudani, mahojiano na kutotumia mtandao wa Instagram jambo ambalo lilizua maswali kwa mashabiki juu ya ukimya wake.

Kwa hiyo siku ya jana alifanikiwa kuachia Minitape yake ambayo inangoma nane huku akiwaalika mastaa kama Jux, Ebitoke, Nedy Music, Mwijaku, Shetta na Barnaba kuhudhuria tukio hilo.

Mzee Yusuph alitangaza kuacha muziki miaka mitano iliyopita ila siku jana ameweza kurudi mjini kwa mara na kutoa nyimbo mpya na kufanya show mbele ya mamia ya watu walijitokeza huku akisema Taarab haijafa bali watu walimiss uwepo wake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali