
miss Tanzania 2013 Happyness Watimanywa
Happyness akiwa pia ni balozi wa kituo hicho ametumia nafasi hii kuhamasisha warembo hao juu ya kampeni ya Chagua Maisha the goodlife maalum kwa ajili ya kuwafikishia vijana ambao ni walengwa wa elimu kuhusiana na uzazi wa mpango.
