Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mlela atoa neno Msanii mwenzake kubadili dini

Jumatatu , 21st Oct , 2019

Msanii wa filamu Yusuph Mlela, ametoa maoni yake baada ya kuwepo kwa taarifa ambazo zinasemwa mitandaoni kwamba msanii Gelly wa Rhymes, amebadilisha dini na kuwa Muislam kisa mwanamke.

Akiieleza EATV & EA Radio Digital, Yusuph Mlela amesema ni sawa kwa Gelly kubadilisha dini hasa kuingia katika uislam

''Ni sawa kwa sababu mimi ni muislam na yeye Gelly amekuwa muislam, namsupport na nimempokea kwa imani yangu naamini amefanya jambo sahihi na nampongeza sana kwa kufanya hivyo na uislamu ndiyo maisha" amesema Yusuph Mlela

"Ni kawaida tu halafu mapenzi yana nguvu mwisho wa siku kama kafanya kwaajili ya mapenzi ni sawa tu na si kitu kibaya kuingia katika uislam kwa hiyo hakuna shida" ameongeza 

 

Official Gelly kwa sasa anatumia jina la Ally, baada ya kuingia katika uislam na amefunga ndoa na mke wake wiki tatu zilizopita Jijini Arusha.  

Yusuph Mlela ameendeleza kusema, hata yeye yupo tayari kubadilisha dini ila isiwe tofauti na uislamu, pia tayari anamshawishi mpenzi wake Ebitoke, abadilishe dini na muda ukifika atafanya hivyo na atakuwa mke wake.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani