Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii wa Bongofleva aja na ngoma 20

Ijumaa , 18th Jan , 2019

Mkali wa 'Hit song' za kitambo, P1 Black ambaye aliyetamba na ngoma kama 'Nini mnataka' na 'Nisikilize me' ft Mr blue amesema baada ya kimya kirefu sasa ameamua kurejea rasmi akiwa amelisoma vizuri soko la muziki na kujipanga.

P1 Black

P1 Black ambaye zamani alifahamika kama Pig Black amefunguka hilo kwenye Heshima ya Bongofleva ya Planet Bongo ya East Africa Radio ambapo amesema tayari amerekodi ngoma 20.

''Nimerejea na baada ya ngoma ya Kamshange itakuwa ni 'back to back' maana sijarekodi hizo ngoma 20 ili zikae ndani bali ziwafikie mashabiki'' - P1 Black.

Mkali huyo pia amefunguka kwamba kati ya ngoma hizo 20, 17 zimetengenezwa kwa MJ Records na producer Daxo Chali huku Mixing na Mastering ikifanywa na Marco Chali.

Ametaja sababu ya kufanya ngoma nyingi MJ Records ni kutokana ukongwe wa studio hizo ambapo imekuwa kama familia yake hivyo inampa uhuru wa kushughulika na mambo mengine kama video pale tu anapokuwa amemaliza kuingiza Vocal na kuwaachia MJ Records wakamilishe kazi yao.

Mkali huyo pia amesema ngoma hizo 20 zote ni hit kali kwani yeye mwenyewe ana sikio la muziki mzuri hivyo akimaliza kurekodi tu huwa anajua kama ngoma aliyorekodi ni kali.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa