Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii akiri kufanyiwa maajabu na Pierre

Jumatano , 22nd Mei , 2019

Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Beka Flavour amesema watu ambao walikuwa hawamuelewi Pierre Liquid kuwa anakipaji gani, sasa wanafahamu kuwa Pierre ni msanii wa muziki pia ni mchekeshaji wa maigizo.

Beka Fleva ametoa kauli hiyo wakati akizungumza katika kipindi cha eNewz cha EATV ambapo amedai sasa hivi watanzania wanatakiwa wamuelewe Pierre ni mchekeshaji anayeimba muziki.

"Kwa audio ya kwanza hii ya 'Lamba Lolo' kiukweli viewers wake wamekimbia, video zangu nyingi huwa zinakimbia lakini audio huwa zinasuasua, ila nahisi kwa sababu nimechanganya nguvu ya msanii kutoka sekta nyingine ya bongo muvi upande wa komedi, Pierre Liquid", amesema Beka Flavour.

"Niliamua kumtumia Pierre kwenye ngoma yangu kwa ajili ya kutengeneza utofauti katika ngoma yangu ili watu wajiulize Pierre kaimba nini ndiyo maana watu wengi wanaenda kusikiliza Pierre", ameongeza Beka.

"Kuhusu kunigomea kutokea kwenye video yangu sio kweli, hawezi kuniletea mambo hayo ya kuzingua, ila nimechelewa kutoa video kwa sababu nimeona audio imefanya vizuri sana kwa hiyo nitatoa baada ya wiki 2 au 3".

Kwa sasa wawili hao wanatamba na wimbo wa Lamba lolo ambapo Pierre na yeye ameingiza vionjo vyake.

HABARI ZAIDI

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu