Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mshindi Dance100% atapatikana kwa vigezo - BASATA

Jumatatu , 12th Sep , 2016

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limesema linafuatilia shindano la Dance100% kwa makini ili kuona vipaji vya vijana pamoja na kuhakikisha haki inatendeka kwa makundi yanayoshiriki shindano hilo.

Mkuu wa matukio ya sanaa kutoka BASATA Kurwijira N. Maregesi

Akizungumza na makundi yaliyofuzu hatua ya fainali Jijini Dar es Salaam Mkuu wa matukio ya sanaa kutoka BASATA Kurwijira N. Maregesi amesema sanaa ni ajira na BASATA kama msimamizi wa shughuli za sanaa wameona ni vyema wakashiriki kikamilifu katika hatua zote za shindano ili kuona haki inatendeka.

“Kundi litashinda kutokana na namna litakavyoonesha ubunifu pamoja na mambo ambayo mmeelekezwa na majaji na katika makubaliano yenu ya ushiriki, hivyo hakuna kundi litakalopendelewa, haki itatendeka hivyo kajiandaeni kwa hari mkijua mshindi atapatikana kadri ya kazi atakayoonyesha” Amesema Maregesi wakati akiyapa maelekezo makundi

Shindano la Dance100% linaendeshwa na EATV na kudhaminiwa na VODACOM na COCA -COLA na kuonyeshwa na EATV kila Jumapili saa moja jioni.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya