T.I na mtoto wake King Harris
"Usicheze na mama yangu, weka heshima kwa mama yangu! Weka muziki lasivyo kaa kimya" amesema King Harris akisindikiza lugha kali za matusi.
Ikumbukwe 50 Cent na T.I wapo kwenye 'Verzuz Battle' ya kutambiana nani mkali kati yao na nani ana ngoma kali zaidi kwenye muziki wao.
Na T.I anasema amemshushia heshima 50 Cent baada ya kuleta drama nyingi na kumkimbiakimbia kwenye Battle hiyo.
Baada ya hapo 50 Cent akamjibu T.I kwa kupost picha ya mkewe na kuandika "Naendelea kusema jina langu litoke kinywani mwenu".







