Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Musukuma aibeba bongo movie

Jumamosi , 20th Apr , 2019

Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma, ameitaka wizara ya inayoshughulika na masuala ya sanaa kuangalia namna ya kuokoa sanaa ya filamu bongo (bongo movie), kwani imekuwa ikianguka siku hadi siku, huku wasanii wake wakiishi maisha magumu.

Musukuma ametoa rai hiyo Bungeni, ambapo amesema kwamba imefikia hatua wasanii wa bongo movie wanategemea rambirambi ili kuishi, kufungua madanguro na kuwa makuwadi, na kumtaka Waziri wa Habari, Sanaa na michezo Harrison Mwakyembe kutafuta suluhu ya kuwasaidia.

Musukuma afunguka zaidi 

 

“Unakuta wasanii wetu wa bongo movie hawana kitu, sasa hivi wanategemea misiba wapate michango na kufungua madanguro na kuwa makuwadi kwa wanaume. Wako hoi bin taaban, kwa nini!? Tumeruhusu vitu vya kijinga ambavyo imetupa kabisa tasnia ya filamu. Hakuna Mtanzania anayeangalia bongo movie, Mheshimiwa waziri nusuru wasanii wanakufia mikononi mwako”, amesema Musukuma.

Pia Mbunge musukuma ameitaka wizara kulegeza masharti yaliyowekwa kwenyekusajili filamu za Tanzania na ukaguzi wake, ili kuinua sekta ya filamu ambayo hapo awali ilikuwa ikifanya vizuri.
“Ukiitoa filamu ya kibongo ina ukaguzi zaidi ya elfu moja, lakini zikija za kikorea haina ukaguzi, mmewaambia watanzania wavae madera wavae kanzu, lakini wa kikorea watu wamepiga min skirt, watu wataenda kuangalia za min skirt”, amesema Musukuma

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava