Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muziki bado unaendesha maisha yangu - Suma G

Ijumaa , 20th Jan , 2017

Rapa Suma G ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kali kama 'Vituko uswahilini', Demu wako na pia alikuwa akiunda kundi la Hotpot Family amefunguka na kusema mpaka sasa anaendesha maisha yake kwa muziki.

Suma G

 

Suma G akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio amesema mpaka leo anapata show na kufanya show mikoani na kupata pesa ambazo zinamsaidia kuendesha maisha yake ya kila siku.

"Nipo kwenye muziki ingawa mara ya mwisho kutoa kazi mpya ni kama miaka miwili hivi, ila mpaka sasa naendelea kufanya movements za muziki na muziki huohuo unafanya niendelee kuishi mpaka leo. Huwezi amini mimi naendelea kufanya show sababu muziki tuliofanya kipindi hicho ulikuwa mkubwa ndiyo maana mpaka leo naweza kufanya show na kupata riziki yangu" alisema Suma G. 

Mbali na hilo Suma G anasema licha ya kutotoa kazi mpya muda mrefu lakini mashabiki wamekuwa wakimpokea vyema kila anapokwenda kufanya show mikoani.

"Muda mwingi nafanya show ambazo naziandaa mimi mwenyewe, huwezi amini muziki wangu unaendelea kufanya vyema kila kona nayokwenda, kwa hiyo sijashiriki matamasha makubwa mengi nimekuwa na timu yangu tunajipanga tunakwenda tunashambulia tunapata riziki yetu tunarudi mjini na maisha yanaendelea" alimazia Suma G 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi