Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwana FA atoa siri chanzo cha bifu na Jide

Jumanne , 12th Dec , 2017

Msanii Mwana FA ambaye hivi karibuni amemaliza tofauti zake na msanii mwenzake lady Jaydee, ameweka wazi jibu la kitendawili ambacho wengi walikuwa wakijiuliza, juu ya chanzo cha ugomvi wao uliowapelekea kuwa mahasimu.

Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mwana FA amesema chanzo kikubwa cha ugomvi wao ilikuwa ni kupangwa kwa show zao kwa siku moja, kitu ambacho kilionekana kumkwaza mmoja wapo.

Sababu kubwa ilikuwa ni show yake na yangu zilianguka tarehe moja , nilikuwa na mipango ya show yangu na nilimwambia, hakuwa na neno, sasa mipango inavyoenda haiendi kwa kalenda yako inaenda kwa kalenda ya wadhamini, bahati mbaya Mangwea akafariki, wote tukaghairisha tukapeleka tarehe 31 na yeye na team yake wakasogeza mpaka 31, na wala haikupangwa kwa sababu yeye alipanga tarehe hiyo hiyo, mimi sikuona kitu kibaya kwa sababu Dar es salaam ina watu zaidi ya milioni 6, mimi nilikuwa nahitaji watu 400 tu nikaona haina tatizo, unajua tumeumbwa binadamu tuko tofauti tutachukulia ubaya, baada ya hapo maneno yakawa yameanza, ila hakukuwa na sababu nyingine zaidi ya hiyo”, amesema Mwana FA.

Kwa muda mrefu wasanii hao walikuwa hawapikiki chungu kimoja, huku wengi wakiwa wanajiuliza nini chanzo cha wawili hao kutoelewana ilhali walikuwa marafiki wakubwa wa kupika na kupakua, na kuja kumaliza tofauti zao mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali