Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nabella Banji kunyolewa kwapa na Daxo Chali

Alhamisi , 21st Mar , 2019

Baada ya stori nyingi kusambaa kuwa muandaaji wa muziki kutoka katika studio ya MJ Record Daxo Chali, anajihusisha kimapenzi na wasanii wake wa kike hili limeanza kujidhihirisha baada ya Meneja huyo kupost picha inayomuonyesha akimnyoa nywele za kwapa msanii wake mpya Nabella.

Nabella akinyolewa na Daxo Chali

Nabella ambaye ni msanii mpya kwa Daxo Chali baada ya Haitham na Nini kuondoka kwa meneja huyo na kulalamika kwamba meneja huyo aliwataka kimapenzi, Nabella amesema yeye hajaona tatizo lolote kufanya kazi na Daxo na katika maisha yake ya muziki asilimia 80 anapata msaada kutoka kwa Daxo Chali.

Nabella akizungumza na eNewz amesema kuwa "Nilikuwa free kunyolewa na Daxo Chali, kwakuwa ndiyo meneja wangu na ndo mtu pekee ambaye nilikuwa nimemzoea kwenye eneo ambalo tulikuwepo tukifanya video ya wimbo wangu Tukumbushie ambao ni wimbo wangu wa pili kutoa hivyo naomba sapoti ya mashabiki zangu kwa hali na mali".

Hata hivyo Nabella alimalizia kwa kuwataka radhi mashabiki zake kuhusu picha iliyosambaa mitandaoni na kusema kwamba picha hiyo ni ajali kazini na ilibidi hali ile itokee kwa kuwa tayari walikuwa nje ya muda na alikuwa akitaka kuwa free kwenye video yake hiyo kujiachia na kuruka sana ndo maana akaona ni vyema kupunguza nywele za kwapa kwa kuwa yeye ni mtoto wa kike usafi ni muhimu kwake.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke