Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nandy afunguka mapya kumuenzi Ruge

Jumamosi , 30th Mar , 2019

Msanii Nandy ambaye alikuwa ni mtu wa karibu wa marehemu Ruge Mutabahaba, kwa mara ya kwanza amefunguka juu ya kilichokuwa kikiendelea juu yake wakati wa msiba, ambacho kiliibua maswali mengi kwa jamii.

Akizungumzia hilo, Nandy amesema kwa sasa hadhani kama ni sahihi kujadili masuala yake binafsi, ila watu wanatakiwa wajue kuwa aliguswa na msiba kama watu wengine, na sasa msiba umekwisha, hivyo ni muda muafaka wa watu kuendelea kufanya yale aliyokuwa akiyapigania Ruge, ikiwemo kufanya kazi kwa bidii.

Nandy akisimulia kila kitu

“Msiba umegusa watu wengi sana, ni mtu ambaye anapenda kila mtu afanye kazi, ni mtu ambaye anapenda kuona mafanikio ya kila mtu, kwa hiyo tuko hapa kwa ajili ya kumfanya awe 'proud' na sio 'kumdissapoint'.

“Kila mtu ameumizwa na msiba kwa namna yake ya tofauti, sipendi sana kuongelea masuala ya msiba kwa sababu yameshapita, kwa yeyote aliyepokea kwa fikra yake kwa kipindi kile abaki na fikra yake, sasa hivi yameshasonga mbele na maisha mengi yanaendelea, marehemu alikuwa ni mtu ambaye anapenda kila mtu afanye kazi, ni mtu ambaye anapenda kuona mafanikio ya kila mtu, kwa hiyo tuko hapa kwa ajili ya kumfanya awe proud na sio kumdissapoint.”, amesema Nandy

Kutokana na hayo, Nandy amesema kwamba kwa sasa watu watarajie kazi bora zaidi kutoka kwake, huku akiwataka watu kutazama video yake mpya akiwa na msanii wa Kenya Willy Paul, inayoitwa Haleluya.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali