Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nandy na Billnass wawekwa hadharani

Jumatatu , 17th Feb , 2020

Moja ya stori ambayo ilikuwa inatrend katika mitando ya kijamii ni kuhusu msanii Dogo Janja kumtaka Billnass ampost Nandy siku ya wapendanao yaani Valentine Day na asiogope kulinda brand.

Picha ya Billnass na Nandy

Ishu hiyo imekuja baada ya Dogo Janja kumpost mpenzi wake Queen Linna, siku hiyo ya wapendanao ikiwa imepita siku kadhaa tangu kumvisha pete ya uchumba, ambapo Billnass aka-comment kuwa  "Kaka nilikuwa sijui kumbe unakipaji cha kuandika proposals nzuri kabisa ya kukopea hela benki na tukachukua pesa bila riba, sio kwa sound hizi utakuwa umekodi majeshi".

Baada ya comment hiyo ya Billnass, Dogo Janja akajibu kwa kuandika "Mpost kivuruge wewe, acha kuuwa soo,mambo ya kulinda brand Nandy mimi sikubaliii leo".

Sasa kupitia kipindi cha PlanetBongo ya East Africa Radio, leo Februari 17, 2020, Billnass na Nandy wamejibu tuhuma hizo za kuogopa kupostiana kwenye mitandaoni kisa kulinda brand zao.

"Sio kama siwezi kumpost mpenzi wangu kwa sababu ya kulinda brand hapana, sikuwa na sababu yoyote ya kumpost Nandy kwa sababu sio mpenzi wangu na sipo kwenye mahusiano naye" amesema Billnass.

Aidha kwa upande wa Nandy amesema yeye na Billnass ni marafiki wa karibu ila hawapo kwenye mahu

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa