Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay aijibu BASATA "Siwezi badili chochote"

Jumanne , 4th Mei , 2021

Rais wa kitaa Nay wa Mitego amenyoosha maelezo kufuatia taarifa za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kuukataa wimbo wake na kumtaka aurekebishe kwa sababu una ukakasi hivyo haufai kwenda hewani.

Msanii Nay wa Mitego

Akizungumzia hilo kwenye show ya Planet Bongo ya East Africa Radio Nay wa Mitego ameeleza kuwa

"Wimbo wameukataa wanasema una ukakasi nifanye marekebisho, sasa mimi tayari nishafanya video na kila kitu, nilisikiliza kitu ambacho wametaka nirekebishe au nitoe kwenye wimbo ndio content yenyewe, nikitoa itakuwa sio wimbo tena ni Gospel"

"Nia yangu ni kuhamasisha wakina mama kwamba wanaweza kufanya kitu ndio kikubwa nilichokizungumza kwenye wimbo, sikutegemea utaonekana una tatizo, baada ya kuja jibu hilo nikasema siwezi kubadilisha chochote bora niachane nao japo inauma na nimepata hasara"

Aidha msanii huyo ameendelea kusema "Natamani Mama atakuja kusikia na ataona kabisa watu kiasi gani wanakurupuka, waliokaribu na Mama naomba wamwambie tu nampenda kuliko mtu yeyote anavyompenda, namjali na nina kitu kwa ajili yake lakini watu hawataki kusikia".

Zaidi mtazame hapa akizungumzia hilo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali